error code:
keneth news online
Sign-In
Verify Email Address Account Sign-Out
Menu
Homepage News
Program
Schedule Shows Specials
Program
Schedule Shows Specials
Staff

Embed The Radio Player In Your Website
Copy the code below and paste it into your website.

Download our desktop apps

keneth news online

Watumishi na waajiriwa wa Halimashauri ya jiji la  Arusha wametakiwa kufanya kazi zao kwa mujibu wa taratibu na sharia pamoja na miongozo yao ya kazi pasipo kutengeneza mazingira yoyote yale ya kumwonea mwanachi yoyote yule mkazi wa mkoa wa Arusha .

Rai hiyo imetolewa na mkuu wa mkoa wa Arusha Bwana Kenani Kihongosi wakati akizungumza na wamiliki na watumishi wa Salooni kike na kiume jijiini Arusha  wakati akijibu malamiko ya mmiliki wa salooni Bi Rose Barage.

Ambapo Bib Rose aliamweleza mkuu mkoa kuhusiana na manayanyaso anayoyapata pamoja kutoka kwa mtu aliyetambulika kwa jina la Lusekelo anayetambulika kama mmikliki aliyekodisha chumba cha biashara halimashauri ya jiji la Arusha na KUmpangishia yeye kwa bei kubwa.

Kutokana malamiko hayo mkuu wa mkoa Bwana Kihongosi alimwagiza mkurugenzi wa jiji la Arusha kuhakikisha wanampatia siku hii ya leo mkataba Bib Rose ilitokane na manyaso hayo pamoja na vitisho kwa hao kina Lusekelo.

Latest News

More Articles

No Articles Found

Social Feed

There are no feed providers connected…
Add Feed

888888888

mmmmmmmmm

ooooooooo

nnnnnnnnn

ttttttttt

uuuuuuuuu

eeeeeeeee

sssssssss

wwwwwwwww

hhhhhhhhh

rrrrrrrrr

fffffffff

iiiiiiiii

ddddddddd

aaaaaaaaa

yyyyyyyyy

888

mmm

ooo

nnn

ttt

uuu

eee

sss

www

hhh

rrr

fff

iii

888

mmm

ooo

nnn

ttt

uuu

eee

sss

www

hhh

rrr

fff

iii

ddd

aaa

yyy

month

88

88

day

88888

88888

GMT

88

88

hour

:

88

88

minute

:

88

88

second

am

pm

Program Lineup

About Us

Watumishi na waajiriwa wa Halimashauri ya jiji la Arusha wametakiwa kufanya kazi zao kwa mujibu wa taratibu na sharia pamoja na miongozo yao ya kazi pasipo kutengeneza mazingira yoyote yale ya kumwonea mwanachi yoyote yule mkazi wa mkoa wa Arusha . Rai hiyo imetolewa na mkuu wa mkoa wa Arusha Bwana Kenani Kihongosi wakati akizungumza na wamiliki na watumishi wa Salooni kike na kiume jijiini Arusha wakati akijibu malamiko ya mmiliki wa salooni Bi Rose Barage. Ambapo Bib Rose aliamweleza mkuu mkoa kuhusiana na manayanyaso anayoyapata pamoja kutoka kwa mtu aliyetambulika kwa jina la Lusekelo anayetambulika kama mmikliki aliyekodisha chumba cha biashara halimashauri ya jiji la Arusha na KUmpangishia yeye kwa bei kubwa. Kutokana malamiko hayo mkuu wa mkoa Bwana Kihongosi alimwagiza mkurugenzi

Contact Us

12345
Privacy Policy Terms Of Service
Powered By Caster.fm Streaming Solutions.